Kanisa la Moravian Tanzania - Jimbo la Kaskazini

Idara ya Elimu ya Kikristo

Kufundisha mafundisho sahihi ya Biblia kwa makundi yote ya umri.

Rudi
Idara hii inaandaa vifaa vya mafundisho na kuratibu masomo ya Biblia, katekisimu na madarasa ya kipaimara.

Majukumu

Kuandaa mitaala ya mafundisho
Kuratibu madarasa ya katekisimu/kipaimara
Kutoa mafunzo kwa walimu wa shule ya Jumapili na masomo ya Biblia

Wakuu wa Idara