Idara ya Mipango na Maendeleo
Kuratibu miradi ya jimbo na mipango ya maendeleo ya muda mrefu.
Inapanga na kufuatilia miradi ya maendeleo ya jimbo katika elimu, afya, uwezeshaji wa kiuchumi na miundombinu.
Majukumu
Kupanga na kufuatilia miradi ya jimbo
Kuhamasisha rasilimali za maendeleo
Kutoa taarifa za maendeleo ya miradi kwa uongozi
Kuhamasisha rasilimali za maendeleo
Kutoa taarifa za maendeleo ya miradi kwa uongozi